• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Naibu Katibu Mkuu Taifa UWT afanya ziara Chemba

Posted on: September 21st, 2019

Na,  Shani S.Amanzi

Naibu Katibu Mkuu Taifa UWT Mhe.Jesca Mbogo ( picha; wa tatu kutoka kulia ) awataka wanawake wa Chemba wasiishi kwa majungu badala yake washirikiane kwa pamoja kwani Serikali ya awamu ya tano ni hapa kazi tu wanapaswa kutumia fursa zilizopo katika kujikwamua kiuchumi.

“kumekuwa na zana ya ujasiriamali ulioanza toka zamani lakini kutokana na dunia kukua kiuchumi, sayansi na teknolojia ni vyema nanyi kuwa wabunifu katika kukuza ujasiriamali wenu. Lengo la kuja leo kwenu ni kuwapa hamasa ili muweze kujikwamua kiuchumi katika  makundi ya akina mama na walemavu wa jinsia zote kwa sababu Chama cha Mapinduzi kinawajali na kuwathamini wananchi wote kwa kuwaletea maendeleo ya nchi nzima”aliongeza kwa kusema Mhe.Jesca Mbogo.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga alisema “katika wilaya ya Chemba tunaendelea kuweka kipaumbele kwa wananchi hususani katika mambo yatakayo wasaidia kimaendeleo kwa kushirikiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wa Wilaya na Halmashauri. Pia Wilaya imeweka mkakati wa kutengeneza barabara zake, kubuni njia mbalimbali za kupata mapato ya ndani na kutatua kero ya maji kwa wananchi”.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus H.Mashimba amesema Halmashauri ya Wilaya ya Chemba imetoa  mikopo kwa kina mama pamoja na vijana kwa asilimia  10.

Ziara hiyo imefanyika tarehe 20/9/2019 kwa kufanya mkutano wa hadhara na wajasiria mali pamoja na  walemavu.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MATOKEA MCHUJO RMA

    June 22, 2025
  • TANGAZO LA WITO WA USAILI

    June 06, 2025
  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.