• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MNYIKAH AWATAKA MAAFISA ELIM KATA NA WALIM WAKUU KUSHIRIKIANA

Posted on: July 29th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Ndugu Hassan Mnyikah amewataka Maafisa Elim Kata, na Walimu wakuu wa shule za awali na  msingi Wilayani Chemba kufanya kazi kwa kushirikiana ili  kuongeza kiwango cha ufaulu.


Mnyikah ameyasema hayo tarehe 29, Julai 2025 wakati akifungua mafunzo ya uongozi wa ufundishaji na ujifunzaji ngazi ya  Halmashauri yaliyofanyika katika ukumbi wa VETA Wilayani Chemba.


"Ualimu ni wito, tumieni mafunzo haya kama fursa ili mtoke na mbinu mbalimbali za kuwawezesha wanafunzi wetu kufanya vizuri Zaidi katika mitihani yao na hili ndilo lengo letu" amesema Mnyikah


Sambamba na hilo Mnyikah pia amewaomba Viongozi hao wa elimu kufanya mabadiliko katika sekta hiyo muhimu kwa lengo la  kuboresha viwango vya  ufaulu  na kuongeza kuwa yeye ni msikivu na yuko tayari kushauriana na kushirikiana nao.


Mapema akizungumza na Viongozi hao wa elimu ngazi ya Halmashauri  Mratibu wa Program ya Shule Bora Bi Amina Rajab amesema mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo wa kiutendaji Maafisa elimu Kata na Walimu Wakuu lengo likiwa ni kujipanga kikamilifu  ili kuhakikiksha Wanafunzi wanafanya vuzuri katika masomo yao.


Aidha, Bi Amina Rajab amesema kuwa Maafisa elimu Kata, na Walimu Wakuu wanao wajibu wa kujitathmini na kutafuta mbinu bora za kufanya ili kuongeza kiwango vya ufaulu kwa Wanafunzi wa elimu ya awali na msingi.


Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha manunuzi Ndugu Salvin Musa amesema kuwa Maafisa elimu Kata na Walimu Wakuu ndio wasimamizi Wakuu wa miradi ya Serikali inayotekelezwa katika maeneo yao hivyo amewaomba washirikiane kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ubora na kwa wakati na wawahamasishe Wananchi kushiriki katika utekekezaji wa miradi hiyo ili kupunguza gharama.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAHAMASISHENI WAZAZI/WALEZI WACHANGIE CHAKULA SHULENI

    July 30, 2025
  • MNYIKAH AWATAKA MAAFISA ELIM KATA NA WALIM WAKUU KUSHIRIKIANA

    July 29, 2025
  • DC OKASH AWATAKA WATENDAJI KUHAMASISHA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    July 29, 2025
  • DED CHEMBA AWAPONGEZA WALIMU KWA MATOKEO MAZURI YA KUDATO CHA SITA 2025

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.