• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mikopo ya 10%

MFUMO WA USAJILI NA UTOAJI WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA(CMG) KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (TPLMIS)

Mfumo wa usajili wa vikundi vya huduma ndogo za fedha ( community micro finance group) ni mfumo unaosimamiwa na BOT na kukasimisha mamlaka hayo katika serikali za Mitaa Kwa mujibu wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha, 2018

Kikundi cha Kijamii cha Huduma Ndogo za Fedha ni Kikundi kilichoanzishwa na kusimamiwa na Wanakikundi na kusajiliwa kwa mujibu wa Sheria hii kwa ajili ya kufanya shughuli za Huduma Ndogo za Fedha, ikiwemo kukusanya akiba kutoka kwa Wanakikundi na kutoa mikopo.

Mfumo wa usajili wa vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za fedha una faida zifuatazo;-

  • Mfumo unasaidia kupunguza msongamano wa wananchi katika ofisi moja kwani unamruhusu mtu yoyote kufanya usajili akiwa mahali popote.
  • Mfumo unasaidia kupunguza gharama haswa za usafiri kwani hakuna haja yakufika katika ofisi za halmashauri kupata maelekezo dhidi ya makosa yaliyojitokeza wakati wa usajili kwa sababu maelekezo yote hutumwa kwenye mfumo huo
  • Pia mfumo unasaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa haswa ni yale ya mfumo wa hewa hususani ni katika kipindi hiki cha ugonjwa wa corona
  • Pia mfumo unasaidia kuzuia urudiaji wa majina ya vikundi kwani huruhusu jina moja, ikitokea kikundi kitatumia jina hilo tena mfumo unauwezo wakumtaarifu mtumiaji kuwa jina limesha tumika na halitaruhusiwa kusajiliwa
  • Mfumo unasaidia kutunza kumbukumbu za vikundi kwani daftari la usajili lipo katika mfumo tayari
  • Mfumo unasaidia uandaaji wa haraka wa taarifa za vipindi mbalimbali kuhusiana na usajili wa 
  • Mfumo unawataka wanakikundi wenyewe kujisajili na kuambatanisha taarifa muhimu (documents)
  • Mfumo huu unahitaji kila mwana kikundi awe na namba ya NIDA
  • BOFYA HAPO CHINI KUJIUNGA
  • https://mikopohalmashauri.tamisemi.go.tz/login

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024

    January 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.