• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Maji
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Afya
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Usafi na Mazingira
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mipango na Takwimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Tekinolojia Habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Law
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mikopo ya 10%

MFUMO WA USAJILI NA UTOAJI WA VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA(CMG) KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU (TPLMIS)

Mfumo wa usajili wa vikundi vya huduma ndogo za fedha ( community micro finance group) ni mfumo unaosimamiwa na BOT na kukasimisha mamlaka hayo katika serikali za Mitaa Kwa mujibu wa Sheria ya Huduma Ndogo za Fedha, 2018

Kikundi cha Kijamii cha Huduma Ndogo za Fedha ni Kikundi kilichoanzishwa na kusimamiwa na Wanakikundi na kusajiliwa kwa mujibu wa Sheria hii kwa ajili ya kufanya shughuli za Huduma Ndogo za Fedha, ikiwemo kukusanya akiba kutoka kwa Wanakikundi na kutoa mikopo.

Mfumo wa usajili wa vikundi vya kijamii vya huduma ndogo za fedha una faida zifuatazo;-

  • Mfumo unasaidia kupunguza msongamano wa wananchi katika ofisi moja kwani unamruhusu mtu yoyote kufanya usajili akiwa mahali popote.
  • Mfumo unasaidia kupunguza gharama haswa za usafiri kwani hakuna haja yakufika katika ofisi za halmashauri kupata maelekezo dhidi ya makosa yaliyojitokeza wakati wa usajili kwa sababu maelekezo yote hutumwa kwenye mfumo huo
  • Pia mfumo unasaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa haswa ni yale ya mfumo wa hewa hususani ni katika kipindi hiki cha ugonjwa wa corona
  • Pia mfumo unasaidia kuzuia urudiaji wa majina ya vikundi kwani huruhusu jina moja, ikitokea kikundi kitatumia jina hilo tena mfumo unauwezo wakumtaarifu mtumiaji kuwa jina limesha tumika na halitaruhusiwa kusajiliwa
  • Mfumo unasaidia kutunza kumbukumbu za vikundi kwani daftari la usajili lipo katika mfumo tayari
  • Mfumo unasaidia uandaaji wa haraka wa taarifa za vipindi mbalimbali kuhusiana na usajili wa 
  • Mfumo unawataka wanakikundi wenyewe kujisajili na kuambatanisha taarifa muhimu (documents)
  • Mfumo huu unahitaji kila mwana kikundi awe na namba ya NIDA
  • BOFYA HAPO CHINI KUJIUNGA
  • https://mikopohalmashauri.tamisemi.go.tz/login

Matangazo ya Kawaida

  • Waraka wa Utumishi wa Umma June 02, 2017
  • Mtandao wa barabara Wilaya ya Chemba September 04, 2018
  • Ded Statement October 10, 2018
  • Statement of the Council Chairperson October 11, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA KAZI

    January 24, 2023
  • NAFASI ZA KAZI PCCB

    January 20, 2023
  • TANGAZO LA MAFUNZO YA PROGRAM YA KILIMO

    January 16, 2023
  • Tangazo la nafasi za kazi za wakusanya mapato vijijini-(Nafasi 112)

    January 13, 2023
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.