• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Zaidi ya Kaya 156,586 zaondolewa na TASAF kwenye mpango mara baada ya kuhitimu.

Posted on: December 21st, 2022

Na Ezekiel Mtonyole – Dodoma.

Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF umetangaza kuziondoa jumla ya Kaya  156,586 zilizokuwa zikinufaika na TASAF mara baada ya kuimarika kiuchumi ambapo sasa zinaweza kujitegemea pasipo kupata ruzuku.

Kaya hizo ni miongoni mwa kaya zaidi ya Milioni 1.3 zilizo katika kipindi cha pili cha awamu ya tatu ya mpango huo kilichozinduliwa Februari 2022,ambapo kuondolewa kwake ni baada ya kufanyika tathimini ya hali za ustawi wa maisha yao katika mamlaka zote 186 za utekelezaji.

Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dodoma  Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga amesema uhitimu wa walengwa walioimarika kiuchumi kupitia uwezeshwaji uliofanywa na mfuko huo.

Mwamanga amesema kuwa  kwa sasa kaya hizo zina makazi bora, zinaweza kumudu gharama za matibabu, kusomesha watoto na zina vitega uchumi na biashara za uhakika zinazoongeza pato la familia.

“Kwa mujibu wa taratibu za muundo wa mpango, kaya inaponufaika hatua ya kujikimu na kuimarika kiuchumi kwa kuwa na chanzo au vyanzo vya uhakika wa mapato, inapoteza sifa za kuendelea kupokea ruzuku na inadi iondolewe kwenye mpango,” amesema Bw.Mwamanga

Hata hivyo Mwamanga amesema pamoja na kaya hizo zipo kaya nyingine 16,490 ambazo pia zitatolewa kwenye mpango ifikapo Januari mwaka 2023.

Amesema kuwa Kaya hizo zimetoka katika halmashauri za wilaya ya Bagamoyo,Kibaha,Lindi,Chalinze na katika manispaa za Mtwara,Lindi na kutoka Unguja.

Mwamanga amesema kuwa  TASAF itaendelea kutoa elimu kwa walengwa kuhusu taratibu za Mpango kuhamasisha ushiriki wa walengwa katika masuala mbalimbali kuwekeza ili wanapohitimu waweze kujihudumia wao wenyewe.

Aidha ametaja njia zilizotumika kuwatambua na kuwaondoa kwenye mpango kuwa ni kuitisha mikutano ya kijamii,kujaza dodoso la taarifa za hali ya uchumi ya kaya na kufanya uhakiki kwa kutumia mfumo maalum wa kuchakata takwimu kwa njia ya kompyuta.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAHAMASISHENI WAZAZI/WALEZI WACHANGIE CHAKULA SHULENI

    July 30, 2025
  • MNYIKAH AWATAKA MAAFISA ELIM KATA NA WALIM WAKUU KUSHIRIKIANA

    July 29, 2025
  • DC OKASH AWATAKA WATENDAJI KUHAMASISHA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    July 29, 2025
  • DED CHEMBA AWAPONGEZA WALIMU KWA MATOKEO MAZURI YA KUDATO CHA SITA 2025

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.