• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BONANZA LA MICHEZO CHEMBA DC VS KONDOA DC

Posted on: October 27th, 2025

Mapema  tarehe 27, Septemba  2025  lilifanyika  Bonanza la mechezo  la mechi za kirafiki  baina ya Watumishi wa Umma Chemba DC na Kondoa DC lililobeba  ujumbe  wa “Shiriki kupiga kura  kwa maendeleo ya michezo”


Bonanza hilo la michezo lililofanyika viwanja vya shule ya Msingi Chemba  lilihusisha michezo mbalimbali  ikiwemo mchezo wa mpira wa miguu ambapo  timu ya Kondoa DC iliibuka  na ushindi  wa mabao 2 – 1  dhidi ya Chemba DC, michezo mingine ni pamoja na  mchezo wa bao na mchezo wa draft.


Akizungumza katika bonanza hilo la michezo  Afisa michezo wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba  Gerishom Mbehong’hali alisema kuwa  Watumishi wa Chemba DC  wamefurahi kushiriki michezo  mbalimbali pamoja na Watumishi wa Kondoa DC ambapo pia  alitoa shukrani kwa  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Ndugu Hassan Mnyikah  kwa kuwezesha Wanamichezo wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba kushiriki  kikamilifu Bonanza hilo.


 “Tumecheza na kufurahi pamoja , tumeimarisha afya  na kubadilishana ujuzi, Nawashukuru sana  Kondoa DC  kwa kuendeleza mshikamano,  ushirikiano wa kikazi na kijamii” aliongeza  Ndugu Gerishom


Kwa upande wake  Kaimu Mkuu wa Kitengo cha  Michezo na Utamaduni Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa Ndugu  Mohamedi Chillo Akizungumza kwa niaba  ya Wachezaji wa Kondoa DC alisema kuwa ushiriki wao katika bonanza hilo  umetokana na uwezeshwaji mzuri  kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa  Ndugu Shaaban Millao.


Bonanza hilo la michezo liliandaliwa kwa ushirikiano  wa  Wakurugenzi Watendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba  na Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa  kupitia Vitengo vya Michezo na utamaduni na kufanyika ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Chemba.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025 September 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWA WAOMBAJI WA KAZI YA UKUSANYAJI MAPATO October 03, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • “DHAMIRA YA SERIKALI NI KUPUNGUZA AU KUMALIZA KABISA VIFO VINAVYOTOKANA NA UZAZI”

    October 02, 2025
  • CRDB KANDA YA KATI YAKABIDHI MADAWATI 20 KWA SHULE YA MSINGI CHEMBA

    October 02, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO CHEMBA DC VS KONDOA DC

    October 27, 2025
  • RAS DODOMA AWATAKA WATUMISHI CHEMBA KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    September 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.