• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

“DHAMIRA YA SERIKALI NI KUPUNGUZA AU KUMALIZA KABISA VIFO VINAVYOTOKANA NA UZAZI”

Posted on: October 2nd, 2025

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule  alipotembelea ujenzi wa mradi wa Kituo cha afya Dalai ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi kutembelea miradi ya maendeleo  ndani ya Wilaya ya Chemba  Oktoba  2, 2025 ambapo ametembelea miradi ya Elimu na AFya Kata ya Mondo, Dalai na Songolo.


“Ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya huduma za afya katika Wilaya za Mkoa wa Dodoma utasaidia kusogeza karibu na Wananchi huduma bora  za afya pamoja na kuokoa maisha ya Wananchi pindi inapotokea  dharura ya ajali na matukio mengine yanayohitaji huduma za haraka za kitabibu” amesema RC Senyamule.


Mradi wa  ujenzi wa Kituo cha Afya Dalai unajengwa  kwa fedha  shilingi milioni 686.5 ambapo fedha kutoka Serikali Kuu ni shilingi milioni  678.7 na  michango ya nguvu  za Wananchi ni shilingi milioni 10.8.


Akiwa kwenye mradi wa Zahanati katika Kata  ya Songolo Mhe. Senyamule amepongeza hatua ulipofikia mradi huo ambapo taarifa ya utekelezaji wa mradi huo imeeleza kuwa  mradi huo umegharimu shilingi milioni 60  fedha kutoka Serikali Kuu  na nguvu za Wananchi shilingi milioni 10 ili kuunga mkono juhudi za Serikali, mradi huo unatarajiwa kukamilika  Novemba 30, 2025 ambapo kwasasa  umefikia 65% ya utekelezaji.


Aidha akiwa katika Mradi wa miundombinu ya elimu Shule ya Msingi Mondo ambao unahusisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa  kwa shilingi  milioni 46 fedha kutoka Serikali Kuu na ujenzi wa matundu 21 ya vyoo  kwa shilingi milioni 49.4 fedha kutoka mpango wa SRWSS Mhe. Senyamule amempongeza Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mondo kwa usimamizi mzuri wa fedha za Serikali na ujenzi wa matundu 21 ya vyoo ambayo yamejengwa kwa kuzingatia ubora.


Ukamilishaji wa ujenzi wa miundombinu ya elimu Wilayani Chemba unatarajiwa kuongeza viwango vya ufaulu na kuwapunguzia Wanafunzi adha ya kutembea umbali mrefu kwenda shuleni, ambapo pia kukamilika kwa miundombinu ya miradi  ya Afya kutawapunguzia Wananchi adha ya kutembea umbali mrefu kwenda Vijiji vya jirani kutafuta huduma za afya.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025 September 09, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWA WAOMBAJI WA KAZI YA UKUSANYAJI MAPATO October 03, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • “DHAMIRA YA SERIKALI NI KUPUNGUZA AU KUMALIZA KABISA VIFO VINAVYOTOKANA NA UZAZI”

    October 02, 2025
  • CRDB KANDA YA KATI YAKABIDHI MADAWATI 20 KWA SHULE YA MSINGI CHEMBA

    October 02, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO CHEMBA DC VS KONDOA DC

    October 27, 2025
  • RAS DODOMA AWATAKA WATUMISHI CHEMBA KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    September 17, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.