• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WILAYA YA CHEMBA YAJIVUNIA UMUHIMU WA KUTUNZA MISITU.

Posted on: February 8th, 2018


Na Shani Amanzi,

Katibu Tawala Wilaya ya Chemba Ndg.Nyakia Ally amewataka wananchi wa kata ya Gwandi kutunza Miti ya asili, kuendelea kutunza mazingira na kuepuka kukata miti ovyo .

Ndg.Nyakia aliyazungumza hayo alipokuwa anamtambulisha Mwekezaji wa Mradi  wa Nyuki Ndg.Kinyango Ildephonce (aliyesimama mwenye kofia) katika mkutano wa hadhara kijiji cha Gwandi  tarehe 2/2/2018.

“Ndugu Wananchi, uwepo wa mwekezaji huyu katika kijiji chenu na Wilaya ni fursa kwetu kupata huduma za kijamii ikiwemo madawati shuleni, huduma za maji na serikali itapata faida kwa njia ya ulipaji wa kodi.”Alisisitiza Katibu Tawala Wilaya.

Naye Mwekezaji wa Mradi wa Nyuki Ndg.Kinyango Ildephonce amesema Nchi ya Tanzania imebarikiwa kuwa na Misitu mingi, na ameona ni vyema aje Mkoa wa  Dodoma katika Wilaya ya Chemba kuwekeza katika Ufugaji wa Nyuki na kwa bahati nzuri amekuta kijiji cha Gwandi kina Kikundi cha Ufugaji wa Nyukia ambacho atakuwa nacho bega kwa bega.

Ndg.Ildephonce amesema “Wajumbe wa Serikali ya kijiji mkumbuke katika kikao cha kwanza tulichofanya niliwaeleza kuwa ninachohitaji ni kuwawezesha ujuzi vijana ili watumie fursa hii vyema katika ufugaji nyuki na ni njia ya kuwapatia ajira pia.”

Aidha Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Bi.Flora Shija alisema “Nchi yetu ni ya Viwanda vidogo vidogo na vya kati, umaskini utapunguzwa kuanzia ngazi ya kijiji, kata, na Wilaya yetu kwa kuwapatia vijana ajira kupitia rasilimali tulizonazo.”

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Nyuki Ndg. Ally Mpima alitoa ufafanuzi kwa kusema, Mkoa wa Dodoma umeteua Hifadhi za Misitu ya Asili kwa ajili ya Ufugaji Nyuki katika vijiji vya Jogolo kata ya Ovada-ukubwa hekta 2314, Baaba kata ya Ovada-ukubwa hekta 867, Sanzawa kata ya Sanzawa hekta 912, Mialo kata ya Kwamtoro –ukubwa hekta 500.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.