• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wilaya ya Chemba yafanya maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) Kimkoa.

Posted on: June 10th, 2018

Na Shani Amanzi,

Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga ametoa agizo kwa waganga wote wa kienyeji mkoani Dodoma kuacha kazi za kupiga ramli chonganishi ambazo zimekuwa zikilazimisha jamii kuwaua watu wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) ili wakate viungo vyao kwa ajili ya kupata utajiri ambapo siyo kweli.

Mkuu wa Wilaya aliyazungumza hayo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma alipokuwa akizindua siku ya Maadhmisho ya watu wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) 09/06/2018 kimkoa wilayani Chemba ambapo kitaifa yatafanyika 13/6/2018 mkoani Simiyu.

Mhe. Odunga amesema Serikali itaendelea kuweka utaratibu mzuri ili kuhakikisha mafuta ya ngozi kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) yanapatikana katika hospitali zote za wilaya na kutoa elimu kuhusu utunzaji wa ngozi.

Mhe. Odunga aliongeza kwa kusema “ kwa wale watakaoshindwa kuwaandikisha watoto wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) hatua kali zitachukuliwa dhidi yao, kwani Serikali ya awamu ya Tano imetoa fursa ya elimu bure kwa watoto wote”.

Naye Katibu wa chama cha Watu wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) Tanzania (TAS) Ndg. Hudson Seme amesema kumekuwepo na utata wa kutokuwepo na Takwimu halisi ya juu ya watu wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) ambapo changamoto inachangiwa na jamii kiujumla kwakuwa na imani potofu inayosababisha kutotoa taarifa za watu wenye ulemavu.

“Aliongeza kwa kusema ni vyema watu wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) wajiunge kwenye vikundi ili waweze kufanya kazi za ujasirimali kwani serikali ya awamu ya Tano kupitia Idara ya maendeleo ya jamii iendelee kuboresha na kutoa misaada mbalimbali kwa kutoa fedha”.

Kauli mbiu yaWatu wenye Ualbino kwa mwaka huu ni  ‘’BADILI FIKRA POTOFU DHIDI YA WATU WENYE UALBINO: UCHUMI WA VIWANDA UZINGATIE AFYA, ELIMU NA AJIRA ZAO’’.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAHAMASISHENI WAZAZI/WALEZI WACHANGIE CHAKULA SHULENI

    July 30, 2025
  • MNYIKAH AWATAKA MAAFISA ELIM KATA NA WALIM WAKUU KUSHIRIKIANA

    July 29, 2025
  • DC OKASH AWATAKA WATENDAJI KUHAMASISHA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    July 29, 2025
  • DED CHEMBA AWAPONGEZA WALIMU KWA MATOKEO MAZURI YA KUDATO CHA SITA 2025

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.