• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

Posted on: April 27th, 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndg. Stephen Wasira ameeleza faida za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar muda mfupi baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Kanda ya Kati  iliyopo Kata ya Chemba katika Halmashauri ya Wilaya Chemba.

Wasira ameeleza kuwa Muungano unachochea na kuimarisha biashara baina ya pande mbili lakini pia unaleta aman kwani wananchi wa pande zote mbili wanauhuru wa Kwenda kuishi katika nchi hizo mbili bila masharti yoyote.

Aidha amewapongeza viongozi waasisi wa Muungano huo ambao ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Hayati Abeid Amani Karume kwa kuona mbali na kuziunganizha nchi hizi mbili ambapo matunda yake yanaonekana hadi leo.

Hata hivyo amewasihi wananchi kuendelea kuudumisha na kuuenzi Muungano huo ili kuendeleza maono ya viongozi waasisi na kudumisha amani na kukemea wote wanaobeza Muungano kwani hawana nia njema na maendeleo ya wananchi na nchi hizo mbili.

Hata hivyo Wasira ameongeza amewakumbusha wananchi wote ambao bado hawajajiandikisha katika Daftari la kudumu la mpiga kura kutumia fursa ya kujiandikisha itakapokuja awamu ya pili mapema mwezi Mei Ili kila mmoja apate haki yake ya kikatiba ya kuchagua kiongozi amtakaye katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba 2025.

Kwa upande wake Katibu Tawala Wilaya Mrs. Sara John Ngalingasi akisoma taarifa fupi juu ya mradi huo kwa Makamu Mwenyekiti ametumia fursa hiyo kutoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha zaidi ya Billion nne na Million Mia Moja (4.1) kwa ajili ya ujenzi wa Sekondari ya hiyo.

“Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kanda ya Kati umelenga kupunguza adha ya gharama ya nauli kupangiwa shule za mbali kutafuta elimu lakini pia kutoa wigo mpana wa kila mtu kupata elimu Ili kuwa na kizazi kilichoelimika.

Ziara ya Makamu Mwenyekiti wa CCM bara imefanyika wilayani Chemba ikiwa ni maadhimisho ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambayo hufanyika kila tarehe 26 Aprili ya kila mwaka ambapo mwaka huu ni miaka 61 toka kutokea kwake na kauli mbiu ya mwaka huu imesema

“Muungano wetu ni Dhamana, Heshima na Tunu ya Taifa Shiriki uchaguzi mkuu mwaka 2025”.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.