• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA CHEMBA WAPATIWA MAFUNZO

Posted on: August 4th, 2025

Wasimamizi  wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya KataJimbo la Chemba wameanza kupatiwa mafunzo ya uchaguzi  ya siku tatu leo tarehe 4, Agosti 2025 ikiwa ni   sehemu ya maandalizi kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 na kuwawezesha wasimamizi wasaidizi kutekekeza majukumu yao ipasavyo.


Mafunzo hayo yanayofanyika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri yamefunguliwa na Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Chemba Ndugu Dominick Ruhamuya ambaye amewataka Wasimamizi wasaidizi kutambua kuwa dhamana waliyopewa kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ni kubwa, nyeti na muhimu kwa mustakabali wa Taifa letu, hivyo wanategemewa kuzingatia utendaji wao, wawajibike ipasavyo katika kipindi chote hadi hapo jukumu hili la uchaguzi litakapokamilika.


Aidha, Ndugu Dominick  amewaasa Wasimamizi Wasaidizi wa uchaguzi kuwa pamoja na uzoefu ambao baadhi yao wanao katika uendeshaji wa uchaguzi wasiache kusoma katiba, sheria, kanuni, taratibu, miongozo na wafuate na kutekeleza  maelekezo mbalimbali yatakayokuwa yanatolewa na Tume.


"Fanyeni utambuzi wa vituo vya kupigia kura mapema ili kubaini mahitaji maalum ya vituo husika na kuhakikisha kunakuwa na mpangilio mzuri ambao utaruhusu uchaguzi kufanyika kwa utulivu na amani" amesema Ruhamuya


Mafunzo hayo yanajumuisha Washiriki 52 kutoka Kata 26 za Halmashauri ya Wilaya ya Chemba ambao ni wasimamizi wasaidizi ngazi ya Kata na jumla ya mada kumi zitawasilishwa katika mafunzo hayo.


Wasimamizi Wasaidizi hao wamekula kiapo cha kutunza siri na kutoa tamko la kujitoa  uanachama wa chama cha siasa kabla ya kuanza  mafunzo.


Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unatarajiwa kufanyika tarehe 29, Oktoba 2025


    "KURA YAKO HAKI YAKO JITOKEZE KUPIGA KURA"




Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025 September 09, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAS DODOMA AWATAKA WATUMISHI CHEMBA KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    September 17, 2025
  • DC OKASH AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA BENJAMINI GEROME

    September 11, 2025
  • MNYIKAH AONGOZA TIMU YA WATAALAM KUKAGUA MIRADI CHEMBA

    September 08, 2025
  • DARASA LA SABA CHEMBA WAAHIDI UFAULU KWA 100%

    September 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.