• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wanawake Wapata Mafunzo Ya Uongozi

Posted on: June 29th, 2018

Na Shani Amanzi,

Afisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya ya Chemba awataka wanawake watumie vyema fursa wanazozipata kwa kuwa wao ndiyo kioo katika jamii hasa katika nyadhifa za Uongozi wanazopewa katika jamii inayowazunguka.

Afisa Maendeleo ya Jamii Bi .Mwatumu Doso aliyazungumza hayo kwenye ufungaji wa Mafunzo ya Uongozi yaliyofanyika ndani ya siku mbili katika ukumbi wa Godown ,tarehe 19 mpaka 20 Juni 2018 wilayani Chemba.

Bi.Mwatumu amesema  “kwa muda wa miongo kadhaa iliyopita,wanawake wametokea kuwa wenye juhudi nyingi katika masuala ya jamii zao,lakini kunakuwepo na changamoto mbalimbali zinazowakwamisha ndiyo maana Serikali pamoja na Sekta Binafsi zinajitahidi kuwashika mikono wanawake ili wapate maendeleo”

Naye Mkurugenzi wa Shirika la UFUNDIKO(Ufundi na Uhandisi Kongwa) Ndg.Saidi Panga amesema lengo la mafunzo hayo ya siku mbili ni kuwajengea uwezo wanawake katika uongozi bora na kujua majukumu yao ya msingi katika Uongozi  na kuweza kujua uhusiano uliopo kati ya Viongozi na Wanaongozwa.

“Uongozi usio rasmi mahali popote una umuhimu wake na Viongozi wanapotenda shughuli zao hivyo Kiongozi anawajibu wa kutambua kuwepo kwa taasisi zisizo rasmi na kufanya kila njia kuzitumia katika kufanikisha malengo yake au ya Halmashauri kwa hiyo ni wajibu wa Viongozi kutumia njia sahihi za Uongozi ”alilisisitiza Ndg.Panga.

Katika mafunzo hayo yalishirikisha vijiji kumi na mbili ambavyo ni Tandala,Kidoka,Mondo,Goima ,Kilema Balai,Lahoda,Lalta,Jangalo,Kwamtoro,Gwandi,Mrijo Chini na Makorongo ambapo katika kila kijiji kilileta wahusika wanawake watano ambapo wapo kwenye makundi matatu likiwemo kundi la kwanza wahusika watatu kutoka kamati ya maji ya kijiji ,kundi la pili ni Muuguzi wa Zahanati na Kiongozi mmoja wa kijiji.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAHAMASISHENI WAZAZI/WALEZI WACHANGIE CHAKULA SHULENI

    July 30, 2025
  • MNYIKAH AWATAKA MAAFISA ELIM KATA NA WALIM WAKUU KUSHIRIKIANA

    July 29, 2025
  • DC OKASH AWATAKA WATENDAJI KUHAMASISHA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    July 29, 2025
  • DED CHEMBA AWAPONGEZA WALIMU KWA MATOKEO MAZURI YA KUDATO CHA SITA 2025

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.