• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WANAFUNZI ZAIDI YA 1000 WA SHULE YA MSINGI CHEMBA WANUFAIKA NA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO

Posted on: August 13th, 2025

WANAFUNZI  ZAIDI YA 1000  WA SHULE YA MSINGI CHEMBA WANUFAIKA NA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO.

Zaidi ya Wanafunzi 1000 wa Shule ya Msingi Chemba wanatarajiwa kunufaika na huduma ya upimaji macho inayotolewa kwa ushirikiano wa Wizara ya Afya, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Ofisi ya Mganga Mkuu Mkoa wa Dodoma, na timu ya Wataalam wa macho kutoka Chuo cha macho Hongkong Polyclinic

Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chemba Ndugu Marko  Mgonja tarehe 14, Agosto 2025   wakati zoezi la macho likiendelea shule ya msingi Chemba.

Pamoja na kuishukuru Wizara ya Afya, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Ofisi ya Mganga Mkuu Dodoma   Kwa kushirikiana katika utoaji wa huduma hiyo  Dkt. Mgongonja amesema kuwa ni vizuri utaratibu wa kupima matatizo ya macho  kwa watoto ukafanyika mara kwa mara nchini ili kuwabaini watoto wenye matatizo ya macho na kuwatibia wakiwa bado wadogo kwani itasaidia kuongeza kiwango cha ufaulu katika masomo yao.

“Kuna Watoto wana matatizo ya macho na Wazazi/Walezi  hawajui kama Watoto wao wana matatizo ya macho, hali hii inawapelekea kutokufanya vizuri darasani hivyo huduma hii itawasaidia kugundua matatizo waliyonayo na kupatiwa matibabu sahii” amesema Mgonja

Kwa upande wake Daktari Bingwa wa macho kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa amesema kuwa mara baada ya kufanyiwa vipimo watoto wenye matatizo ya macho watatibiwa katika vituo vya huduma za afya ngazi ya Wilaya, wengine watapewa rufaa kwenda Hospitali ya Benjamini Mkapa na wenye mahitaji ya miwani watachukuliwa vipimo na baadaye kutumiwa miwani na Wataalam hao wa macho kutoka Chuo cha  Hong kong Polyclinic.

 

 

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025 September 09, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAS DODOMA AWATAKA WATUMISHI CHEMBA KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    September 17, 2025
  • DC OKASH AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA BENJAMINI GEROME

    September 11, 2025
  • MNYIKAH AONGOZA TIMU YA WATAALAM KUKAGUA MIRADI CHEMBA

    September 08, 2025
  • DARASA LA SABA CHEMBA WAAHIDI UFAULU KWA 100%

    September 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.