• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

"TUMESHIRIKI, TUMESHINDA NA TUMEKABIDHI USHINDI"

Posted on: September 3rd, 2025



Kauli hiyo imetolewa na Washiriki wa SHIMISEMITA 2025 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chemba wakiongozwa na Mkuu wa Idara ya Utumishi Ndugu Hillary Mniachi mapema  tarehe 03, Septemba  2025 wakati wakikabidhi  kombe na medal za ushindi kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chemba Ndugu Hassan Mnyikah.


Akizungumza na Washiriki hao Mara baada ya kukabidhiwa  kombe na medal  Ndugu Mnyikah  amewapongeza washiriki hao kwa  kufanya vizuri  licha ya changamoyo kadhaa walizokutana nazo wakati wa mashindano hayo.


“Mmetuheshimisha Wanachemba, nimefurahi sana, na kwa ushindi huu nawaahidi kuwa mwakani tutajipanga vizuri ili mfanye vizuri zaidi “ amesema Mnyikah


Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya Utumishi Ndugu Hillary Mniachi amesema kuwa katika mashindano ya SHIMISEMITA 2025 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba iliibuka mshindi wa  kwanza kwa upande  wa uchoraji, mshindi wa kwanza kwa mbio za mita 100, mshindi wa pili mbio za mita 400,  na  mshindi wa kwanza mbio za mita 100 x 4 relay


Aidha, Ndugu Mniachi amemuomba  Mkurugenzi Mnyikah kuwatazama kwa jicho la kipekee Washiriki hao wa SHIMISEMITA 2025 kutokana na bidii  na uvumilivu waliouonyesha  katika mashindano hayo.


Akizungumza kwa niaba ya Washiriki wenzake Ndugu Jonson Limbe amemshukuru Mkurugenzi Mnyikah kwa kuwatia moyo na kuwawezesha kushiriki mashindano hayo ambapo pia ameahidi kuwa mwakani watafanya vizuri zaidi katika mashindano hayo kwani wanatarajia  kuanza mapema  maandalizi ya  kujinoa kwenye michezo  mbalimbali.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025 September 09, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DC OKASH AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA BENJAMINI GEROME

    September 11, 2025
  • MNYIKAH AONGOZA TIMU YA WATAALAM KUKAGUA MIRADI CHEMBA

    September 08, 2025
  • DARASA LA SABA CHEMBA WAAHIDI UFAULU KWA 100%

    September 05, 2025
  • "TUMESHIRIKI, TUMESHINDA NA TUMEKABIDHI USHINDI"

    September 03, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.