• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

RAS DODOMA AWATAKA WATUMISHI CHEMBA KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

Posted on: September 17th, 2025


Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dkt. Khatibu Kazungu tarehe  17, Septemba  2025 amefanya ziara  katika Halmashauri ya Wilaya ya Chemba ikiwa ni sehemu ya kujitambulisha  kwa Watumishi wa  Serikali katika Halmashauri hiyo tangu alipoteuliwa na Mhe.  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan  mwezi Agosti, 2025 kushika Wadhifa huo.

Akizungumza na Watumishi wa  Serikali  Halmashauri ya Wilaya ya Chemba  Dkt. Kazungu  amewataka Watumishi  hao  wanapotekeleza majukumu yao kuzingatia kanuni, sharia na taratibu za utumishhi wa Umma sambamba na dira ya Taifa ya maendeleo  2050 na kuitafsiri kwa vitendo  Dira hiyo ili waweze kufikia malengo ya dira hiyo.

Aidha,  Dkt Kazungu  amewataka Viongozi wa  Halmashauri ya Wilaya ya Chemba  kuhakikisha kuwa Watumishi wanapata haki zao za msingi  katika utumishi ikiwa ni pamoja na haki ya kupata likizo,  Haki ya uhamisho, haki ya kulipwa posho na kuimarisha mahusiano mazuri kazini.

“Mkoa wetu wa Dodoma ndiyo Makao makuu ya Nchi, hivyo ni vyema Wananchi wawe na kipato cha uhakika ili kujikimu na familia zao hivyo sisi kama Viongozi ni lazima tubuni mikakati  hasa katika uzalishaji” amesema Dkt. Kazungu

Sambamba na hilo Dkt Kazungu ameielekeza Ofisi ya Mkurugenzi Chemba kutenga maeneo ili Wananchi wa Chemba waweze kushiriki kikamilifu katika uzalishaji wa mazao ya kilimo ili kuongeza kipato cha Mkoa na ajira.

Hata hivyo, Katibu Tawala huyo wa Mkoa wa Dodoma  akatumia fursa hiyo kuwakumbusha Watumishi wa Chemba kujitokeza  kwa wingi kupiga kura siku ya uchaguzi Mkuu  tarehe 29 Oktoba, 2025



Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025 September 09, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAS DODOMA AWATAKA WATUMISHI CHEMBA KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    September 17, 2025
  • DC OKASH AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA BENJAMINI GEROME

    September 11, 2025
  • MNYIKAH AONGOZA TIMU YA WATAALAM KUKAGUA MIRADI CHEMBA

    September 08, 2025
  • DARASA LA SABA CHEMBA WAAHIDI UFAULU KWA 100%

    September 05, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.