• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Kaimu Mkurugenzi Wa Halmashauri Akifungua Mafunzo Kusajili Na Kutoa Vyeti Vya Kuzaliwa Kwa Watoto.

Posted on: March 15th, 2019

Na Alphonce Chilimo,

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Ndg. Jofrey Pima akifungua mafunzo ya uandikishaji vyeti vya watoto walioko chini ya umri wa miaka mitano katika jengo la Halmashauri ya  Wilaya ya Chemba. Ndg Jofrey Pima alisisitiza  kuwa Cheti hicho kinatolewa bila malipo katika Ofisi ya Mtendaji Kata  au Vituo vya Tiba (Vinavyotoa huduma ya afya ya mama na mtoto).  Ila kama Cheti amepoteza au kimeharibika itampasa mzazi au mlezi kufika katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri na atalipia shilingi 5000/= na kupatiwa cheti kingine kwa taarifa zilezile. Lengo la mpango huu ni kuondoa kabisa idadi ya watoto walioko chini ya miaka mitano ambao hawana vyeti vya kuzaliwa. Hivyo tunawaomba wazazi, walezi na wadau wengine kuhakikisha zoezi hili linafanyika kikamilifu na tuone wilaya yetu ya Chemba inakuwa ya kwanza katika mkoa wa Dodoma katika utekelezaji wa zoezi hili la kitaifa asilimia mia kwa mia. 

Zoezi hili si tu litaleta faida na tija kwa watoto , wazazi na walezi bali litaleta pia faida kwa halmashauri ya Wilaya ya Chemba, Mkoa wa Dodoma na Taifa kwa ujumla kwani Serikali kuanzia ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa itapata takwimu sahihi za watoto walioko chini ya miaka mitano na hivyo kuisaidia katika kuandaa mipango mbalimbali ya maendeleo ya taifa na ya wanachemba kwa ujumla. 

Zoezi hilo la Kitaifa lilianzia mwaka 2012 hadi 2018 katika Mikoa ya Dar es Salaam (Temeke), Mbeya, Songwe, Mwanza, Iringa, Njombe, Shinyanga, Geita, Lindi, Mtwara, Mara na Simiyu na kwa sasa linaendelea katika Mikoa ya Dodoma na Singida kuanzia tarehe 15 Machi 2019 na kuendelea na ni zoezi la kudumu. Mpango huo umedhaminiwa na UNICEF, CANADA na TIGO kupitia  Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  Na baadae mpango huu utaendelea katika mikoa yote ya Tanzania Bara.

Kaimu Mkurugenzi pia alieleza umuhimu wa cheti cha kuzaliwa kuwa ni;

  • Utambulisho wa awali wa kisheria utakaomuwezesha mtoto kupata haki nyingine.
  • Humsaidia Mtoto kuandikishwa shule za msingi na sekondari
  • Kuzuia ajira ya Watoto na kuwalinda Watotowanakinzana na sharia.
  • Kuwawezesha wanafunzi kujiunga na vyuo vya elimu ya juu.
  • Kupata mikopo ya elimu ya juu.
  • Ni lazima ili kupata ajira katika Taasisi za Serikali na Majeshi ya Ulinzi na Usalama.
  • Ni kiambatanisho cha msingi ili kupata kitambulisho cha Taifa katika zoezi linaloendelea nchini.
  • Husaidia kupata hati ya kusafiria (Passport)

Kaimu Mkurugenzi pia aliwataka  wasajili na watoa vyeti kukumbuka kuwa:

  • Mzazi afike Kituo cha usajili na kiambatisho cha mtoto (nakala ya Kadi ya Kliniki au Tangazo la kizazi)
  • Cheti kinachotolewa ni halali kwa matumizi yoyote.
  • Cheti hakina ukomo wa Matumizi na mtoto hatalazimika kupata kingine baada ya umri wa miaka mitano.
  • Cheti kitunzwe mahali salama na kisikunjwe.
  • Vituo vinavyotumika ni vya kudumu.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.