• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania awaonya Waharibifu Wa Barabara

Posted on: May 2nd, 2018

Na Shani Amanzi,

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Wananchi waache tabia ya kuficha Waharifu wa kuharibu barabara kwa kutoa alama za barabarani ,kwani Serikali imetumia gharama nyingi kutengeneza barabara ya Dodoma hadi Babati,atayefanya uhalibifu wa barabara hiyo atachukuliwa hatua kali za kisheria na wakumbuke  aliwaahidi toka  kipindi cha Uchaguzi  atakamilisha zoezi la Ujenzi  huo.

Mhe. Rais Dkt.John Pombe Magufuli aliyazungumza hayo alipokuwa anazindua barabara  hiyo  yenye Kilomita 251 wilayani Kondoa  mkoani Dodoma tarehe 27 Aprili 2018 na kuhudhuriwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) Dkt.Akinumwi Adesina na Balozi wa Japan hapa nchini Mhe.Masaharu Yoshida .

Mhe. Rais Dkt.John Pombe Magufuli  amesema “Tunadeni kubwa la kutumikia Watanzania na lazima tufanikishe zoezi hilo  tuachane na matabaka kwa misingi ya itikadi ,ukabila au dini  na vyama badala yake tulete maendeleo na ilani ya Uchaguzi tutazidi kuitumikia na wale ambao siyo wanaccm tutaendelea kushirikiana nao”

Kufuatia maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt. Semistatus Mashimba ameishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kupitia Rais Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli kwa kuweza kukamilisha barabara ya Babati kwenda Dodoma ambapo kwa Wananchi wa Chemba wananufaika kupitia barabara hiyo katika kufanya shughuli zao za kimaendeleo.

“Wananchi wa Chemba kupitia barabara hiyo watanufaika katika kipindi cha kuuza mazao yao kwani kwa mwaka huu tunatarajia mavuno ya kutosha kutokana na wananchi wetu kutekeleza agizo la  Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli  la watu wanapaswa kulima na hatagawa  chakula kwa watu ambao hawajalima na badala yake walime ‘aliongeza kwa kusema hivyo Dkt.Mashimba

 Hata hivyo kazi za ujenzi ziligawanywa katika sehemu kuu nne ambazo ni Dodoma-Mayamaya (Km43.65),Mayamaya-Mela (Km 99.35), Mela-Bonga (Km88.8),Babati-Bonga (Km16.2) na (Km3) za kuingia Kondoa Mjini na mradi huo umegharimu shilingi  bilioni 378.4.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAHAMASISHENI WAZAZI/WALEZI WACHANGIE CHAKULA SHULENI

    July 30, 2025
  • MNYIKAH AWATAKA MAAFISA ELIM KATA NA WALIM WAKUU KUSHIRIKIANA

    July 29, 2025
  • DC OKASH AWATAKA WATENDAJI KUHAMASISHA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    July 29, 2025
  • DED CHEMBA AWAPONGEZA WALIMU KWA MATOKEO MAZURI YA KUDATO CHA SITA 2025

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.