• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri wa Ardhi

Posted on: January 25th, 2019

Na Shani Amanzi,

Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angelin Mabula amwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri  na Wataalam wake kusimamia kikamilifu katika kutatua kero mbalimbali za  ardhi ya wananchi ikiwemo kufatilia hati miliki za wananchi mahali husika, siyo paka kusubiri  waletewe ofisini  na kubadilika ikiwemo kubadilisha mifumo ya kizamani na kuendana na ya kisasa ambayo itawasaidia kukusanya mapato makubwa.

Dkt.Angelin Mabula aliyazungumza hayo ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Chemba alipokuja kuhamasisha ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali  ikiwemo kodi ya Ardhi ,Urasimishaji ,Tarehe 23/1/2019.

"Aidha tumekuja Chemba kuhamsisha ukusanyaji  wa maduhuli kupitia kodi ya ardhi na mnapaswa muwe na mapato makubwa ya ukusanyaji kodi kwani nikiangalia mnayo maeneo makubwa ambayo mnapaswa kuhamasisha wananchi  kwa wingi ndani na nje ya chemba kuja kununua  ya makazi na uwekezaji  lakini mna kiwango kidogo cha malipo ya viwanja vilivyolipiwa na acheni tabia  ya kuwalea wadaiwa sugu" Mhe.Angelin.

Naye Mkurugenzii Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus H.Mashimba amesema kwa upande wa makazi  ni changamoto hata kwa wafanyakazi wa Halmashauri,kwani  makazi ni machache ndiyo maana waliamua kuuza viwanja hadi kwa wafanyakazi ili iwe rahisi kuishi hapo kwa bei ya chini  ambapo wengi wao walilipokea hilo.

 Kaimu Mkuu wa Idara ya Ardhi na Maliasili Ndg.Enock Mrigo alizungumzia shughuli wanazozifanya ikiwemo ubunifu wa mipango miji ikiwemo kuendeleza mji wa Chemba na kutatua migogoro ya ardhi ndani ya wilaya na inaendelea kutatuliwa kwa ngazi ya Taifa,Mkoa,Wilaya,Kata na Vijiji na kingine kuwa na watumishi wachache nayo changamoto.

Alitolea mfano mgogoro wa mipaka , mpaka kati ya Wilaya ya Chemba (Kijiji cha Handa) na Wilaya ya Singida Vijijini (Kijiji cha Kazamoyo) ,hatua zilizochukuliwa ni Mkuu wa wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga  kwa kushirikiana na Mkuu wa wilaya ya Singida vijijini waliitisha kikao cha ujirani tarehe 26/10/2017 kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama za wilaya zote pamoja na Wataalamu wa Ardhi na Upimaji wa Halmashauri zote mbili na kuamua kuhakiki upya  mpaka huo ili kuondoa utata kwa mujibu wa ramani za wizara y ardhi 2008.

Mkuu wa wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga alimuomba Naibu Waziri Mhe.Angelin awasaidie kwenye kutatua migogoro ya mipaka kwenye hifadhi za Taifa kama Mhe.Rais John Pombe Magufuli alivyoagiza pamoja na kuomba kujengewa nyumba za watumishi kupitia shirika la nyumba NHC  ili waweze kuishi na kufanya kazi kiurahisi ambapo hivyo vyote Mhe.Angelin aliahidi kuvitekeleza.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.