• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MNYIKAH AONGOZA TIMU YA WATAALAM KUKAGUA MIRADI CHEMBA

Posted on: September 8th, 2025


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Ndugu Hassan Mnyikah  tarehe 8, Septemba 2025 ameongoza timu ya Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba kukagua miradi ya maendeleo sekta ya afya na elimu robo ya nne Aprili – Juni 2024/2025.


Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ukamilishaji wa zahanati ya Takwa, Ujenzi wa kituo cha afya  Kata ya Ovada, ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa  shule ya msingi Lalta, ujenzi wa mradi wa miundombinu ya usafi wa mazingira  kituo cha afya Kwamtoro, ujenzi wa matundu ya vyoo shule ya msingi Mondo, ujenzi wa kituo cha afya  Dalai, ujenzi wa chumba cha darasa  shule ya msingi Hamai, ukamilishaji  wa ujenzi zahanati ya Songolo, ukamilishaji wa ujenzi wa zahanati ya Madaha, pamoja na ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa 2 shule ya msingi Mchiga.


Akizungumza  katika mradi wa zahanati ya Takwa  Mkurugenzi Mnyikah   ameitaka Kamati ya ujenzi pamoja na Viongozi wa Kata na Vijiji kuendelea kuwaelimisha Wakazi  wa enea hilo kuchangia nguvu kazi zao ili ujenzi wa mradi huo uweze kukamilika.


“Tunatoa nafasi ya mwisho kwa Kijiji hiki kuchangia nguvu kazi ili ujenzi wa mradi huu uweze kukamilika, vinginevyo  fedha ambazo zipo benki shilingi milioni 60  tutazihamshia sehemu nyingine ambako wana uhitaji na utayari wa kuchangia nguvu kazi zao ili waweze kupata huduma kama hii” amesema Mkurugenzi Mnyikah


Sambamba na hilo Mnyikah ameitaka Kamati ya ujenzi pamoja na Viongozi

wa Kata  na Vijiji  Kata ya Kinyamsindo  kutokutumia njia moja tu ya kuchangia nguvu kazi bali endapo baadhi ya Wakazi wa eneo hilo wametingwa na majukumu na kupelekea kukosa muda wa kwenda kuchangia nguvu kazi basi Wakazi hao wachangie fedha ambazo zitatumika kunnuna mahitaji muhimu ya ujenzi wa mradi huo.


Aidha, Mkurugenzi Mnyika ameielekeza Kamati ya ujenzi pamoja na Viongozi wa Kata na Vijiji  Kata ya Kinyamsindo kutoa taarifa ya maendeleo ya  ya utekelezaji wa mradi huo hususan uchangiaji wa nguvu kazi za Wananchi mapema tarehe 10, Septemba 2025.


Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mnyika amezipongeza kamati za ujenzi  pamoja na Viongozi wa Kata na Vijiji katika mradi wa kituo cha afya Ovada, ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Lalta, ujenzi wa mradi wa miundombinu ya usafi wa mazingira  kituo cha afya Kwamtoro kwa uchangiaji wa nguvu za Wananchi,  na utekelezaji wa miradi hiyo kwa kuzingatia ubora .


Hata hivyo ,  katika miradi yote aliyoitembelea kwa kushirikiana na timu ya Wataalam, Mnyika amehimiza utunzaji wa vifaa, uwekaji wa kumbukumbu za  mapokezi ya vifaa pamoja na utunzaji wa nyaraka za manunuzi.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025 September 09, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DC OKASH AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA BENJAMINI GEROME

    September 11, 2025
  • MNYIKAH AONGOZA TIMU YA WATAALAM KUKAGUA MIRADI CHEMBA

    September 08, 2025
  • DARASA LA SABA CHEMBA WAAHIDI UFAULU KWA 100%

    September 05, 2025
  • "TUMESHIRIKI, TUMESHINDA NA TUMEKABIDHI USHINDI"

    September 03, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.