• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu waMkoa Wa Dodoma Azindua zoezi la Upandaji miti

Posted on: January 3rd, 2023

Na. Alphonce Chilimo.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule ameongoza  zoezi la upandaji miti katika eneo la Hospitali ya Wilaya ya Chemba ambapo ni muendelezo wa  kampeni ya upandaji miti ngazi ya Wilaya iliyofanyika Januari 3 2023. Ikiwa uendelezaji wa kampeni iliyozinduliwa rasmi Desemba 31 2022 kwa kupanda miti kwenye eneo la chanzo cha maji cha DUWASA kilichopo eneo la Ihumwa vijijini.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo Mhe. Senyamule amewataka wasimamizi wa eneo hilo, wadau wa mazingira na wananchi kulipa kipaumbele bila kusukumwa kwani kila mmoja anapaswa kutambua wajibu wake juu ya kulinda mazingira endelevu kutokana na umuhimu wake.

Ametoa msisitizo mashuleni akiwataka walimu kusimamia zoezi la upandaji miti mashuleni kwa utaratibu wa kila mwanafunzi kupanda mti mmoja na kuutunza hadi atakapomaliza shule. Ni wajibu wetu kutunza mazingira na vyanzo vya maji kwa kupanda miti kwa wingi huku tukizuia ukataji wa miti hovyo. Sitatamani  kuona uzembe wowote ambao utatokea wa kuifanya miti hii isikue, Nitoe onyo kwa wananchi ambao ni chanzo cha uharibifu wa miti kuwa ni kinyume cha sheria na tutawachukulia hatua “Ameongeza Mhe. Senyamule.

Vilevile, Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe. Simoni Chacha ametilia mkazo zoezi hilo la upandaji wa miti maeneo ya ulangini kwa kuwa ndio maeneo yaliyoathiliwa sana na ukataji wa miti ukilinganisha na maeneo ya usandaweni ambapo wanakijiji hao hawana tabia ya ukataji miti hovyo. Amewataka wananchi kwenda ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri kuchukua miti na kuipanda maeneo yao angalau kila nyumba kuwa na miti angalau mitano. Takribani miti 300 ilipandwa katika eneo hilo la Hospitali na wilaya ya Chemba inatarajia kupanda miti 1,500,000.

Sanjali na zoezi la upandaji miti Mkuu wa Mkoa pia amezungumzia masuala ya uchangiaji chakula mashuleni ili watoto waweze kupata chakula angalau cha mchana waweze kupata utulivu madarasani. Pamoja na uchangiaji chakula amewataka wakuu wa wa shule kuanzisha mashamba ya shule yaliyotelekezwa mda mrefu ili wanafunzi waanze kuyalima ikiwa ni sehemu ya kupata elimu ya kujitegemea watakapomaliza shule.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MATOKEA MCHUJO RMA

    June 22, 2025
  • TANGAZO LA WITO WA USAILI

    June 06, 2025
  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.