• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA UGANI, KILIMO NA MIFUGO WATAKIWA KUTOA ELIMU YA KUTOSHA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI.

Posted on: January 22nd, 2018





Na Shani Amanzi,

Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga amewataka Wataalam wa Kilimo na Mifugo kutoa Elimu ya kutosha kwa Wakulima na Wafugaji kwa sababu chanzo cha mapato katika Wilaya ya Chemba ni Kilimo na Mifugo.

Mhe.Simon Odunga aliyazungumza hayo katika Ufunguzi wa Warsha ya siku moja kwa Wataalam wa Kilimo na Mifugo iliyoendeshwa na Tume ya Taifa ya Science na Tecknolojia (COSTECH) katika Shule ya Msingi Chemba ,tarehe 13/1/2018.

“Msimu huu ni wa Kilimo na nimefurahi mmekuja kipindi kizuri ambacho kitawawezesha Wataalam wetu kuwaelimisha Wakulima kuhusu Teknolojia mliyowapa kwani mvua zimeanza vizuri na kuna umuhimu wa uhamasishaji ,kwa kuwa tulianza kwa kuzindua Msimu wa Kilimo Wilaya ya Chemba ,tarehe 14/12/2017 katika kijiji cha Mwailanje , kwa kauli mbiu ‘ONDOA NJAA CHEMBA KWA KULIMA MAZAO YANAYOTUMIA MAJI KIDOGO’aliyazungumza Mhe.Odunga.

Mhe. Odunga aliongeza kwa kusema“Mafunzo mnayoyapata siku ya leo hakikisheni mnaenda kuyafanyia kazi kwa kutembelea Wakulima na Wafugaji katika maeneo yao badala ya kukaa maofisini ili kujua ni changamoto gani wanazozipata ,njia zipi mnawapatia ili kuepukana na ufugaji wa kiholela na Kilimo cha kimazoea”

Naye Mratibu wa Mradi huo Ndg,Philbert Nyinondi amesema malengo ya Mradi huo ni kueneza teknolojia bora zilizozalishwa katika vituo mbalimbali vya utafiti nchini na mafunzo hayo ni muhimu kwa maendeleo ya Kilimo katika Wilaya ya Chemba.

Pia katika mafunzo haya tumeleta mbegu za mahindi yanayoendana na hali ya hewa ya Dodoma kwa ajili ya mashamba ya majaribio yatakayotumiwa na Maafisa wa Kilimo kuelimisha Wakulima kwa njia ya Vikundi.

Mafunzo hayo yameshirikisha Mkuu wa Wilaya ya Chemba ,Wataalam wa Kilimo na Mifugo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chemba ,Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH), Wataalam kutoka chuo Kikuu cha Sua na Vyuo vya Utafiti.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024

    January 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.