• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya ya Chemba atatua mgogoro wa matumizi ya ardhi

Posted on: August 24th, 2018



Na Shani Amanzi,

Mkuu wa Wilaya ya Chemba  Mhe.Simon Odunga amewataka Wananchi wa Kijiji cha Kwamtoro kata ya Kwamtoro waache tabia ya kuchukua maeneo kiholela badala yake wafuate kanuni na taratibu za kumiliki ardhi kwani Serikali inapoteza rasimali fedha na muda katika kutatua migogoro ya ardhi ambayo wananchi wanafanya.

Mhe.Simon Odunga aliyazungumza hayo alipokuwa anafanya Mkutano wa hadhara akiwa  na Mkurugenzi wa H/W Chemba,Wataalam, Kamati ya Ulinzi na Usalama tarehe 20/8/2018 katika kijiji cha Kwamtoro kata ya Kwamtoro.

Mhe.Simon Odunga  amesema “Wananchi wamekuwa na tabia ya kuvamia maeneo na hata wakipewa maeneo kihalali wanatabia ya kuyauza maeneo hayo na kukimbilia kuvamia maeneo ya umma kitendo ambacho siyo kizuri, kinababisha serikali kupoteza muda kuendelea kufuatilia nini kifanyike na wengine wanajua kabisa maeneo wanayoyachukua au kukaa ni  kwa ajili ya shule, masoko na stendi za mabusi”.

Aidha amewataka wakazi wa kijiji cha Kwamtoro waliojenga nje ya utaratibu  katika maeneo ya soko, stendi na shule watoke haraka sana ndani ya siku 90 na baada ya muda huo kupita watatolewa na serikali.

Pia, amewataka Viongozi wa siasa na Serikali wa vijiji na kata Wilayani Chemba wasipende kutoka nje ya taratibu na kusababisha uchochezi bali wawaelekeze wananchi wafuate taratibu za kumiliki ardhi  ili kutekeleza maagizo ya Serikali ya Awamu ya Tano ya Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli.

Naye Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus H. Mashimba amesema Serikali haiwezi kuwaonea wananchi wake, kwani ni sawasawa na baba kumuonea mwanae ,badala yake wananchi wanatakiwa kuwa makini na watu wanao wauzia maeneo ambayo siyo yao bali yanamilikiwa na umma .

Dkt.Mashimba aliongeza kwa kusema “kwa wale wenye tabia ya kujenga maeneo ambayo siyo yao na kutegemea fidia wakati wa kuondolewa na Serikali waache tabia hiyo mara moja kwani mambo ya kupeleka kesi mahakamani wakati wanajua wapo kinyume na taratibu wanaisababishia Serikali kutumia gharama kubwa kuendesha kesi mahakamani na kupoteza muda”.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.