• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI WA H/W YA CHEMBA AMEITAKA KAMATI YA UJENZI KUSIMAMIA SHUGHULI ZOTE ZA MABORESHO YA UJENZI WA KITUO CHA AFYA HAMAI .

Posted on: January 25th, 2018


Na Shani Amanzi,

Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus Mashimba ameitaka Kamati ya Ujenzi katika ngazi ya kijiji kusimamia kikamilifu shughuli zote za ujenzi  wa Zahanati kwa kuhamasisha  jamii kuchangia nguvu kazi na kuitaka Kamati izingatie uadilifu ,uaminifu katika kutekeleza zoezi hilo na hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa Mjumbe yoyote atakayekwenda kinyume na sheria.

Dkt.Semistatus Mashimba aliyazungumza hayo kwenye Mkutano wa hadhara  wa kuhimiza Wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za kimaendeleo na alisisitiza Wananchi kushiriki kwa karibu kwenye Uboreshaji wa Miundo Mbinu ya Kituo cha Afya katika kijiji cha Hamai kata ya Songolo  tarehe 24/1/2018.

Dkt.Mashimba amesema “Serikali ya Awamu ya Tano ya Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli imeikabidhi Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Tsh.milioni 400 kwa ajili ya maboresho ya kituo cha Afya Hamai, na tayari fedha hizo zipo kwenye akaunti ya H/W ya Chemba kwa ajili ya kukabidhi kwenye akaunti ya kijiji  cha Hamai .”

“Maboresho ya Ujenzi unaanza mara moja kuanzia tarehe 24/1/2018 chini ya Kamati ya Ujenzi na Wananchi wakumbuke Kituo hiki cha Afya ni kwa ajili ya kata ya Songolo, vijiji jirani ili kuepukana na changamoto ya kukosekana kwa huduma ya afya.”

Aliongeza kwa kusisitiza Dkt.Mashimba “Kwa upande wa changamoto ya upatikanaji wa maji katika kituo cha Afya ,Halmashauri ya Wilaya ya Chemba imetekeleza kwa kuchimba Kisima cha maji na mradi huo utasaidia kupunguza changamoto ya upatikanaji wa maji.”

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Chemba Dkt.Olden Ngassa amesema mbali na fedha  hizo Tsh.milioni 400 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya tano ,kuna fedha za ruzuku za maendeleo zilizotolewa kwa ajili ya kutengeneza magari ya kubeba Wagonjwa katika kituo cha Afya cha Hamai na Mrijo na mchakato unaanza  mapema ndani ya mwezi Januari na Februari 2018.

Ziara hiyo  ya siku moja katika kijiji cha Hamai iliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chemba pamoja na Wataalam ambao ni Mwanasheria, Mganga Mkuu ,Afisa Mazingira ,Afisa Manunuzi na Mwasibu.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.