• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Maombi mikopo ya Halmashauri sasa kidijitali

Posted on: December 21st, 2022

OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewataka watendaji wa halmashauri zote nchini kuendelea kuhamasisha vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu kujisajili kupitia mfumo mpya wa maombi ya mikopo mtandaoni ili waweze kunufaika.

Akizungumza na HabariLeo, Mkurugenzi wa Idara ya Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angelista Kihanga amesema mfumo huo ni rahisi kutumiwa na kwamba utasaidia kuondoa changamoto mbalimbali ikiwemo uwepo wa vikundi hewa, kukosekana uwiano wa mgawanyo wa asilimia za mikopo kwa vikundi na walengwa kujiandikisha zaidi ya kikundi kimoja.

Amesema kuwa amesema kuwa mfumo wa maombi ya mkopo wa asilimia 10 inayotolewa na halmashauri ni kupitia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) hivyo kwa kutumia simu janja au kompyuta mpakato, mwanachama anaweza kuingia kwenye mfumo huo.

“Kabla ya mfumo huu, vikundi vilikuwa vinapeleka maombi yao kwenye halmashauri kwa mkono.

“Takwimu zinaonyesha kwamba kabla ya mfumo utekelezaji ulikuwa ukikumbwa na changamoto kadhaa ambazo zimeondolewa baada ya kuanza kwa mfumo,” amesema Kihanga.

Ameeleza kuwa serikali kupitia Ofisa maendeleo wa Kata na vijiji wamekuwa wakihakikisha kwamba vikundi hivyo vinajisajili kwa kutumia mfumo huo kwa kwenda maeneo yenye mtandao yaliyopo karibu na maeneo wanayoishi.

”Asilimia 86 ya Watanzania wasiopata intaneti wako maeneo ya vijijini ikilinganishwa na asilimia 44.6 waliopo mijini lakini haizuii kutumika kwa mfumo huu kwa sababu maofisa maendeleo wanalazimika kwenda maeneo yenye mtandao ili kuvisajili vikundi hivi,” amesisitiza.

Pia amesema hatua za mwanachama au kikundi kusajili kupata mkopo kwa njia ya mfumo huo ni kufungua akaunti itakayomuwezesha kuingia kwenye mfumo na kwamba kiongozi wa kikundi ndiye anapewa jukumu la kuhariri taarifa za kikundi.

Mkurugenzi huyo amesema mfumo huo umesaidia kuimarika kwa usimamizi na ufuatiliaji wa marejesho na shughuli za vikundi kwa sababu ni rahisi kuwapata wanachama wote wa kikundi kupitia vitambulisho vya taifa (NIDA) ambavyo hutumika wakati wa usajili.

Vilevile ameeleza kuwa mfumo huo umeunganishwa na Wakala wa Serikali Mtandao (GePG) hivyo marejesho yote yanafanyika kupitia nambari ya udhibiti ambayo kikundi kinapatiwa na kulipa kwa kutumia mitandao ya simu, mawakala wa benki na benki.

“Vikundi vina uwezo wa kujua hali ya marejesho ya mikopo yao kupitia mfumo huu kwa kuwa kuna mfumo wa ufuatiliaji inayomuwezesha Ofisa maendeleo ya jamii kupata taarifa za kikundi kwa urahisi kwa sababu mfumo una taarifa za vikundi na idadi ya vikundi vinapopatikana nchini,” amefafanua.

Kihanga amesisitiza idara yake inaendelea kutoa elimu kupitia mafunzo kwa wakufunzi wa ngazi ya mkoa na halmashauri na wao kwenda kutoa mafunzo katika ngazi ya Kata na maofisa maendeleo ngazi ya kata hutoa mafunzo kwenye vikundi

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MATOKEA MCHUJO RMA

    June 22, 2025
  • TANGAZO LA WITO WA USAILI

    June 06, 2025
  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.