• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUZINGATIA MATUMIZI YA VIFAA, UBANDIKAJI WA MABANGO NA ORODHA YA WAPIGA KURA

Posted on: August 6th, 2025


"Natumia nafasi hii kuwahimiza kuwa ubandikaji wa mabango, matangazo, orodha ya majina ni kwa mujibu wa sheria  na kanuni zinazosimamia uchaguzi, hivyo ni wajibu wenu kuhakikisha kuwa  mabango, matangazo, orodha ya majina na vyote vinavyotakiwa kubandikwa  kulingana na kalenda ya utekekezaji wa majukumu ya uchaguzi unafanyika ili kuepuka malalamiko ya ukiukwaji wa masharti ya sheria na kanuni za uchaguzi"


Kauli hiyo imetolewa na Ndugu Dominick Ruhamuya ambaye ni msimamizi wa uchaguzi Jimbo La Chemba Leo tarehe 6, Agosti 2025  wakati akifunga mafunzo ya Siku tatu kwa Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata ambayo yalifunguliwa tarehe 4, Agosti 2025 ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuekekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani  kwa mwaka 2025.


"Tarehe 4, Agosti kabla ya kuanza mafunzo mlikula kiapo cha kutunza siri, kiapo hiki kipo kwa mujibu wa kanuni ya 8 ya kanuni za uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za mwaka 2025, hivyo ukiukwaji wa kiapo hiki uatakua unatenda kosa chini ya sheria na utawajibika kwa kosa hilo" Amesema Ruhamuya


Aidha, Ndugu Ruhamuya amewaasa Wasimamizi Wasaidizi hao kusimamia mafunzo waliyofundishwa kwa kuzingatia Katiba, Sheria na kanuni, Kutoa mafunzo kwa Watendaji wa vituo vya kupiga kura kwa weledi, kusimamia rasilimali  vifaa watakavyopewa katika utekekezaji wa kazi za uchaguzi, na kuhakiki vifaa vya uchaguzi Mara tu wanapovipokea  na kutoa taarifa haraka kwa msimamizi wa uchaguzi iwapo kuna mapungufu.


 " KURA YAKO HAKI YAKO JITOKEZE KUPIGA KURA"


@tumeyauchaguzi_tanzania

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MALEZI YA WATOTO

    August 07, 2025
  • KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUZINGATIA MATUMIZI YA VIFAA, UBANDIKAJI WA MABANGO NA ORODHA YA WAPIGA KURA

    August 06, 2025
  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA JIMBO LA CHEMBA WAPATIWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • WAHAMASISHENI WAZAZI/WALEZI WACHANGIE CHAKULA SHULENI

    July 30, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.