• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA KATIBU TAWALA MKOA NA WATUMISHI

Posted on: May 15th, 2024

KIKAO CHA KATIBU TAWALA MKOA NA WATUMISHI.

Katibu Tawala Mkoa (RAS) Ndugu KASPAR K. MMUYA akishiriki kikao kazi na Watumishi wote wa Halmashauri.

Katika kikao hicho kilichofanyika tarehe 29/04/2024 katika ukumbi wa Halmashauri Ndg. Kaspar alisisitiza mambo yafuatayo kwa watumishi. 

  UKUSANYAJI WA MAPATO

Katika suala zima la ukusanyaji wa mapato Ndg. Kaspar alisisitiwa watendaji na wakusanya mapato wengine kuifanya kazi hiyo kwa weledi huku wakitambua fika kuwa kazi waifanyayo ni ya Mhe. Rais Dr. SAMIA SULUHU HASSAN. Ndg. Kaspar aliwaomba watendaji kuto kuzima POS za kukusanyia mapato. Lakini pia alisisitiza wakusanya mapato kutokula hela mbichi na badala yake wakaziweke kwanza fedha hizo benki ndipo mchakato wa kuziomba kwa matumizi uanzishwe.

           UWAJIBIKAJI.

Katika suala zima la uwajibikaji Ndg. Kaspar aliwasisitiza watumishi wote kuwajibika ipasavyo kwa wananchi kwa kauli mbiu ya “KERO YAKO NDIO WAJIBU WANGU”. Hapa aliwaomba pia watendaji wasiwe chanzo cha migogoro wanapotatua changamoto za wananchi wao kwa kuwatoza fedha ndipo watatue migogoro.

          KUSIMAMIA MIRADI.

Katika swala zima la kusimamia miradi Ndg. Kaspar aliwataka watumishi wote kushirikiana hata kama mradi haupo katika Idara yako.   Aidha kabla ya kikao alitembelea baadhi ya miradi ukiwamo ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Rofati kilichopo kata ya Gwandi, Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya pamoja na ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi ambapo alifurahishwa na maendeleo yake.

          ELIMU.

Katika swala zima la elimu Ndg. Kaspar alisisitiza ufuatiliaji kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kuanza shule kuandikishwa, msisitizo pia ulitolewa katika kupunguza wanafunzi kutokuacha masomo (drop out) pamoja na ushirikiano wa wanafunzi wazazi na walimu katika kukuza ufaulu.

         MENGINEYO.

Katika eneo la mengineyo lilizungumziwa swala la madeni ya watumishi waliohama kutoka Kondoa DC kuja Chemba DC. Hapa Ndg. Kaspar aliwaomba Watumishi kuwa na subira ili aweze kulifuatilia kwakuwa ni la mda mrefu sasa watumishi wa Chemba hawajalipwa wakati wilaya zingine wanalipwa.

        UTOAJI WA ZAWADI KWA WATUMISHI WANAOJITOA KINAGAUBAGA.

Pia Ndg. Kaspar alishiriki zoezi la kugawa zawadi ya fedha taslimu Tshs. 500,000/= kwa watumishi wanaojitoa katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki na kwa wakati. Baadhi ya watumishi

Mashuhuli ni pamoja na Mganga kutoka katika zahanati ya Mpendo aliyefanikisha zoezi la uvushaji wa chanjo katika mto bubu uliokuwa umejaa maji kitu ambacho kilikuwa ni hatari kulingana na mvua za mwaka huu.

          MAELEKEZO.

Mwisho wa kufunga kikao hicho Ndg. Kaspar alitoa maelekezo kuhusu uvaaji wa utambulisho wa mtoa huduma. Alisisitiza Uongozi ufuatilie utengenezaji wa utambulisho wa mtoa huduma ili wananchi wanapotafuta huduma waweze kutambua ni nani aliyewahudumia.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.