• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA CHEMBA.

Posted on: December 19th, 2017

KIKAO CHA PAMOJA KATI YA BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA NA WAJUMBE WA BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA CHEMBA KIMEFANYIKA TAREHE 16/12/2017

Na Shani Amanzi,

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus Mashimba amewataka Wajumbe wa Baraza la Madiwani kutambua kuwa shughuli kubwa ya Baraza la Biashara ni namna gani wataangalia fursa ambazo zitatumika kwenye ngazi ya Wilaya ,Mkoa mpaka Kitaifa hasa fursa za Kibiashara na Kiuchumi na kuhakikisha zinaendelea vizuri.

Mkurugenzi aliyasema hayo kwa niaba  ya Mwenyekiti wa Baraza la Biashara Wilaya ,ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Chemba   Mhe. Simon Odunga ,kwenye kikao cha pamoja kati Wajumbe wa Baraza la Biashara na Wajumbe wa Baraza la Madiwani wa Wilaya ya Chemba kilicho fanyika katika ukumbi wa Godown wilayani Chemba ,tarehe 16/12/2017.

“Katika kikao hiki cha Baraza la Biashara na Baraza la Madiwani Wilayani Chemba ilipendekezwa kuwa ,kila Kikao cha Baraza la Biashara kuwepo na Wajumbe watatu waalikwa kutoka  Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Chemba ambao ni Wenyeviti wa Kamati tatu za kudumu ambao ni M/kiti Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ,Kamati ya Afya ,Elimu na Maji,Kamati ya Ujenzi ,Uchumi na Mazingira’’alizungumza Dkt.Mashimba.

Pia Mwenyekiti wa TCCIA na Mjumbe wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Chemba Bi.Saida Gamu amesema Diwani yoyote anaruhusiwa kutoa mchango wa kimawazo ikiwa ni lengo la kukuza biashara na uwekezaji kupitia Baraza la Madiwani au  Baraza la Biashara kwa hiyo ushiriki wake katika vikao husika ni muhimu  kuhudhuria ili kurahisha kutoa wazo lake la kimaendeleo kwa Wadau.

Naye Mratibu  wa Baraza la Biashara Mkoa Bw.Joseph Nyalomba amesema Baraza la Biashara lilianzishwa kwa waraka namba 39 na kuzinduliwa na  Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Tatu Mhe.Benjamin Mkapa mwaka 2001 ikiwa na lengo la kuwakutanisha Sekta Binafsi na ya Umma .

“ Ni njia bora vyombo hivi viwili vitakavyofanya kazi  kwa pamoja na kutekeleza agizo la Mwenyekiti wa ngazi ya Taifa  ambaye ni Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli  la kuendesha Mabaraza ya Biashara ya Wilaya zote za Mkoa wa Dodoma na kuibua fursa za uwekezaji ili kutekeleza agizo la Tanzania ya Viwanda”alisisitiza Bw.Nyalomba”.

 Baraza la Biashara la Wilaya ya Chemba lilianzishwa rasmi tarehe 11/2/2016 na mnamo tarehe 3/7/2017 aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh.Jordan Rugimbana aliagiza kuvunjwa kwa Mabaraza yote ya Biashara ya Wilaya na kuanzishwa upya.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MATOKEA MCHUJO RMA

    June 22, 2025
  • TANGAZO LA WITO WA USAILI

    June 06, 2025
  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.