• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Wilaya ya Chemba yafanya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani

Posted on: June 6th, 2018

Na ShaniAmanzi,

Mkuu wa Wilaya wa Chemba Mhe.Simon Odunga amewataka Watendaji na Wataalam wa Halmashauri kusimamia Sheria ndogo za angazi za kata na vijiji katika kuendelea kusimamia na kuthibiti uharibifu wamazingira.

Mhe.Saimon Odunga amesema “ikiwa leo ni siku ya Mazingira Duniani na utaratibu huu hufanyika kila mwaka kuanzia tarehe  Juni mosi hadi juni 05 hufanyika maadhimisho haya,kwa hiyo ni lazima kuzuia viashiria hivyo ikiwemo ukataji wa miti ovyo kwa ajili ya uchomaji mkaa na kuni,uchomaji moto ovyo misitu,utupajiti taka ovyo,kilimo katika maeneo ya miteremko mikali na uchimbaji wa mawe”

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chemba Dkt.Semistatus Mashimba amesema Halmashauri ya Chemba kwa kushirikiana na Wakalawa Misitu Tanzania (TFS) wanaendelea na Kampeni ya kupanda miti ndani ya Wilaya ya Chemba.

“Kwa mwaka huu wa 2018-2019 tunatarajia kupanda miti laki tano ,hii ni utekelezaji wa mpango ulio asisiwa na Makam wa Rais,Mh. Samiah Suluhu wa kuufanya Mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani sambamba na kuisaidia jamii kupata nishati ya kupikia kama vile kuni”aliongeza kwa kusema hivyo Dkt.Mashimba.

Kwa upande wa Mkuu wa Idara ya Usafina na Mazingira wa Halmashauri ya Chemba Ndg.Mohamed Semdoe amesema kwa kushirikiana naViongozi katika ngazi za Kata naVijiji ,tunaendelea kushiriki katika zoezi la usafi wa mazingira kila siku ya Jumamosi ya mwisho wa mwezi.

Pia Idara ya Usafi na Mazingira imeanzisha mkakati wa kutenga maeneo ya dampo katika ngazi za vijiji pamoja na kuhamasisha jamii zishiriki katika kuchangia gharama za uzoaji taka kutoka katika maeneo ya makazi na biashara.

Kauli mbiu ya mwaka huu Kitaifa ni “MKAA NI GHARAMA;TUMIA NISHATI MBADALA”.Maadhimisho ya wiki ya siku ya Mazingira duniani yamefanyika 05/06/2018 katika kijiji cha Kidoka Wilayani Chemba.

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WAHAMASISHENI WAZAZI/WALEZI WACHANGIE CHAKULA SHULENI

    July 30, 2025
  • MNYIKAH AWATAKA MAAFISA ELIM KATA NA WALIM WAKUU KUSHIRIKIANA

    July 29, 2025
  • DC OKASH AWATAKA WATENDAJI KUHAMASISHA UTOAJI WA CHAKULA SHULENI

    July 29, 2025
  • DED CHEMBA AWAPONGEZA WALIMU KWA MATOKEO MAZURI YA KUDATO CHA SITA 2025

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.