• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA KIJIJI CHA KELEMA MASHARIKI

Posted on: August 29th, 2017

HALMASHAURI YA WILAYA YA CHEMBA

 

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA ENEO LA 

MIFUGO KATIKA KIJIJI CHA KELEMA MASHARIKI

 

1.0 Utangulizi

Eneo la Mifugo la Kelema Mashariki lilianzishwa mwaka 1954 na utawala wa kikoloni wa Mwingereza kwa ajili ya kuanzisha kituo cha kupumzisha Mifugo na kuchanja kabla ya kusafirishwa na kuuzwa kwenye masoko ya Mifugo. Baada ya Uhuru wa Tanganyika ,(Kelema Animal Holding Ground) ilichukuliwa na Wizara ya Mifugo chini ya Tanzania Livestock Marketing Project (TLMP) ambayo ilikuwa ikinunua mifugo iliyokuwa ikichanjwa kabla ya kuisafirishwa kwenda kiwanda cha Usindikaji nyama-Tanganyika Parkers, Dar Es Salaam.

Utambuzi wa mipaka pamoja na upimaji ulifanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Chemba ambapo eneo hili lina ukubwa wa ekari 1414.602 sawa na hekta 565.8408.

2.0 Miundo mbinu iliyopo

Miundo mbinu wezeshi iliyoko ndani ya eneo la kituo cha Mifugo ni josho na Kisima cha Maji ambacho kilichimbwa wakati wa uanzishwaji wa Mradi huo isipokuwa hakina pampu. Miundo mbinu hiyo inahitaji ukarabati wa kawaida ili kuendelea kufanya kazi tarajiwa. Josho lililopo lina ujazo wa lita 13,000 za maji.

3.0 Fursa zilizopo

Baadhi ya fursa zilizopo kulingana na uwepo wa eneo hili ni kama ifuatavyo;

  • E neo la ukubwa wa ekari 1414.6.
  • Idadi kubwa ya mifugo katika Wilaya takribani ng'ombe 300,000,mbuzi 210,00,kondoo 180,000,kuku wa kienyeji 352000 na punda 12,000.
  • Uzalishaji wa Mazao: (Alizeti tani 8,500), (Karanga tani 300), (Ufuta tani 1200), (Mbaazi tani 500), (Mahindi tani 24,000) na (Muhogo tani 200).
  • Urahisi wa upatikanaji wa maji kutoka ardhini
  • Urahisi wa upatikanaji wa huduma ya umeme
  • Uwepo wa miundombinu ya barabara ya lami (Dodoma-Babati)
  • Upatikanaji wa vibarua kwa wingi

4.0 Shughuli za kiuchumi zinazoweza kufanyika katika eneo husika

  • Uanzishwaji wa viwanda kama vile kiwanda cha kuchakata nyama, kuzalisha vyakula vya mifugo.
  • Uanzishwaji wa kiwanda cha kutengeneza mafuta ya alizeti.
  • Kilimo na usindikaji wa mazao (Mahindi, Muhogo, ,Mbaazi, Ufuta na Karanga),
  • Kilimo na usindikaji wa matunda na mbogamboga hasa kwa kutumia teknolojia ya (Greenhouse).
  • Ufugaji wa Samaki kwa kuzuia mto au kuchimba visima na mabwawa (Aquaculture).
  • Uanzishwaji wa kiwanda cha ngozi.
  • Uanzishwaji wa mashamba ya malisho (Pasture land).
  • Uanzishaji wa soko la mazao.

5.0 Changamoto

  • Changamoto kubwa iliyopo katika uendelezaji wa eneo husika:
  • Ukosefu wa rasilimali fedha kwa ajili ya uwekezaji.

Simon N. Langoi

Afisa Mifugo na Uvuvi (H/W)

CHEMBA

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024

    January 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.