• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Dc azindua zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya wajasirimali wadogo chemba

Posted on: January 23rd, 2019

Na Shani Amanzi,

Mkuu wa wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga amewaonya watu watakaotaka kufanya udanganyifu katika zoezi hili la kitaifa la ugawaji vitambulisho kwa Wajasirimali  Wadogo hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwani watakuwa wamekwenda kinyume na taratibu.

Mhe.Simon Odunga aliyazungumza hayo alipokuwa anazindua zoezi la Ugawaji wa Vitambulisho kwa Wajasirimali Wadogo wilayani Chemba Tarehe 8/1/2019 katika Ukumbi wa Godown.

“Nataka zoezi hili lisizidi siku saba na kuhakikisha mapato yanaenda vizuri bila kusahau kuhakikisha makundi ya Wajasirimali Wadogo wanapata ikiwemo wa Magenge ya chakula,Mitumba,Mafundi cherehani,Wasusi na wengineo wanaostahili katika Tarafa zote ikiwemo Mondo,Goima,Kwamtoro na Farkwa za Chemba”aliongeza kwa kusema hivyo Mhe.Odunga.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus H. Mashimba amesema katika zoezi la awali  walitambua Wajasirimali 105  ambapo katika kata ya Chemba walipata Wajasirimali 35,kata ya Kidoka Wajasirimali 40,kata ya Paranga Wajasirimali 30 na zoezi hilo limehakikiwa na Kitengo cha Biashara kwa kushirikiana na ofisi ya Mkurugenzi pamoja na Maendeleo ya Jamii.

Aidha Dkt.Semistatus H.Mashimba amesema” Kamati ya zoezi la Ugawaji wa Vitambulisho kwa Wajasirimali Wadogo ilizungunga wilaya nzima katika kutoa elimu na kuhakikisha zoezi hili linakuwa endelevu na tulibaini kuna watu walitaka kufanya udanganyifu na tuliweza kutatua jambo hilo  na kuhakikisha hali hiyo haitatokea tena”

Jumla ya Vitambulisho vya Wajasirimali Wadogo 2750 kutoka Ofisi ya Rais –Tamisemi  viligaiwa Mkoani ambapo walikabidhi  Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mhe.Odunga  ambapo aliagiza  Mkurugenzi Dkt.Mashimba kuratibu zoezi hilo la Ugawaji Vitambulisho kwa wilaya yake.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024

    January 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.