• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Dc atoa pongezi

Posted on: January 23rd, 2019

Na Shani Amanzi,

Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga ampongeza Mhe.Rais John Pombe Magufuli kwa hatua alizochukua kwa kuruhusu baadhi ya vijiji vilivyokuwa kwenye Hifadhi ya Taifa vyenye watu wengi vibaki  na kwa upande wa vijiji vingine ambavyo  vimesajiliwa kimakosa  wakati vipo kwenye Hifadhi Wizara tatu husika ziweze kuwajibika katika maeneo husika yaliyopo kwenye Hifadhi .

Mhe.Odunga "Ningependa kuomba ushirikiano kwa Wizara husika tatu ikiwemo Ofisi ya Rais-TAMISEMI,Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi zije ili tuweze kukaa kwa pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Chemba,Uongozi wa Pori la Akiba Swagaswaga na Serikali ya kijiji cha Handa kwa nia ya kujadili hatma ya huu muingiliano wa mipaka"

"Aidha kumekuwa na muungiliano hasa tukitaka kuleta shughuli za kimaendeleo katika jamii ambazo zipo kwenye hifadhi kwani baadhi ya Wananchi wanakataa hata kuchangia na kudai hawaelewi wapo upande gani aidha wa kubaki au kuondoka na kwa upande wangu nisengependa Swagaswaga kuwa shamba la bibi kwani baadhi ya Wananchi wanajua wanavuka mipaka lakini bado wanaendelea kuingia ndani ya pori na kuharibu mazingira kwa kukata miti ovyo na kufanya shughuli za kilimo."aliongeza kwa kusema hivyo Mhe.Odunga.

Kijiji cha Handa kilibidi kibadilishwe mpaka wa kijiji na Hifadhi ya Swagaswaga lakini kuna watu bado wapo ndani ya Hifadhi kabisa  ambapo kuna vitongoji viwili vipo ndani ya Hifadhi havipo kwenye muingiliano vitongoji hivyo ni kitongoji cha Ilala"A" na Ilala ''B"

Mhe.Simon Odunga aliyazungumza hayo alipokuwa na Waandishi wa Habari ofisini kwake, Tarehe 17/1/2019 wilayani Chemba.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RATIBA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 08, 2025
  • Mwenyekiti Tume Huru ya Chaguzi (NEC) Aongoza kikao cha Kuthibitisha Mgawanyo Jimbo la Chemba Siku ya Tarehe April 27, 2025.

    April 28, 2025
  • Wasira aelezea faida za Muungano kwa wananchi wa Chemba

    April 27, 2025
  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024

    January 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.