• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Alat mkoa yafanya ziara chemba

Sunday 6th, July 2025
@Chemba District

Na Shani S. Amanzi,

Mwenyekiti wa Alat  Mkoa –Dodoma Mhe.White Zuberi amefurahishwa  na kasi waliyonayo Viongozi,Wafanyakazi  na Wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za kimaendeleo kwa kujionea wenyewe walipokuja Chemba.

Alat Mkoa- Dodoma iliyoshirikisha Halmashauri nane za Mkoa wa Dodoma imefanya ziara ya siku mbili kuanzia Tarehe, 25/5/2019  mpaka Tarehe ,26/5/2019 katika  Wilaya ya Chemba ikiwa na lengo la kukagua miradi mbalimbali.

Ziara hiyo wametembelea miradi mitatu ikiwemo Mradi wa Bwawa la Umwagiliaji Kidoka,Shule Shikizi ya Masimba na Hospitali ya Wilaya ya Chemba ambayo ipo kwenye hatua za mwisho.

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa Mhe.Hamza Mafita  aliuliza kuwa kuna baadhi ya Halmashauri  wanapata changamoto ya manunuzi kwa upande wa  Halmashauri ya Chemba wanafanyaje  kwa upande wa Hospitali ya Wilaya.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chemba Dkt.Semistatus H.Mashimba alijibu kwa kusema " huwa tunafatilia mara kwa mara mafundi ,onyo la barua kwa wasimamizi wa mafundi,na wakati mwingine binafsi huenda paka madukani Dodoma mjini napokuwa na vikao kufatilia vifaa vimefikia wapi. "

Aidha katika ziara hiyo walishauri kwa upande wa Mradi wa Umwagiliaji uliopo kata ya Kidoka umechukua muda mrefu unapaswa kukamilika mapema na kutafuta masoko ya mazao watakayokamilisha mapema .

 Kwa upande wa Shule Shikizi ya Masimba wamepongeza kwa kuendelea vizuri na kuongeza majengo ili iweze kusajiliwa kwa sababu ni kijiji kipya cha Masimba ambapo ndipo shule ilipo.

Matangazo ya Kawaida

  • CHEMBA DC STRATEGIC PLAN July 01, 2024
  • Matokeo ya Sensa ngazi ya Kata Mwaka 2022 July 01, 2024
  • Chanjo-Halmashauri ya Wilaya ya Chemba June 01, 2024
  • Mapokezi ya fedha za Miradi Chemba DC June 27, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGAZO NAFASI ZA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025.

    July 01, 2025
  • MATOKEA MCHUJO RMA

    June 22, 2025
  • TANGAZO LA WITO WA USAILI

    June 06, 2025
  • ORODHA YA MAJIMBO MAPYA NA YALIYOBADILISHWA MAJINA

    May 12, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.