• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Elimu ya Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Maji
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Afya
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Usafi na Mazingira
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mipango na Takwimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Tekinolojia Habari Mawasiliano na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Law
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Alat mkoa yafanya ziara chemba

Tuesday 28th, March 2023
@Chemba District

Na Shani S. Amanzi,

Mwenyekiti wa Alat  Mkoa –Dodoma Mhe.White Zuberi amefurahishwa  na kasi waliyonayo Viongozi,Wafanyakazi  na Wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za kimaendeleo kwa kujionea wenyewe walipokuja Chemba.

Alat Mkoa- Dodoma iliyoshirikisha Halmashauri nane za Mkoa wa Dodoma imefanya ziara ya siku mbili kuanzia Tarehe, 25/5/2019  mpaka Tarehe ,26/5/2019 katika  Wilaya ya Chemba ikiwa na lengo la kukagua miradi mbalimbali.

Ziara hiyo wametembelea miradi mitatu ikiwemo Mradi wa Bwawa la Umwagiliaji Kidoka,Shule Shikizi ya Masimba na Hospitali ya Wilaya ya Chemba ambayo ipo kwenye hatua za mwisho.

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa Mhe.Hamza Mafita  aliuliza kuwa kuna baadhi ya Halmashauri  wanapata changamoto ya manunuzi kwa upande wa  Halmashauri ya Chemba wanafanyaje  kwa upande wa Hospitali ya Wilaya.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chemba Dkt.Semistatus H.Mashimba alijibu kwa kusema " huwa tunafatilia mara kwa mara mafundi ,onyo la barua kwa wasimamizi wa mafundi,na wakati mwingine binafsi huenda paka madukani Dodoma mjini napokuwa na vikao kufatilia vifaa vimefikia wapi. "

Aidha katika ziara hiyo walishauri kwa upande wa Mradi wa Umwagiliaji uliopo kata ya Kidoka umechukua muda mrefu unapaswa kukamilika mapema na kutafuta masoko ya mazao watakayokamilisha mapema .

 Kwa upande wa Shule Shikizi ya Masimba wamepongeza kwa kuendelea vizuri na kuongeza majengo ili iweze kusajiliwa kwa sababu ni kijiji kipya cha Masimba ambapo ndipo shule ilipo.

Matangazo ya Kawaida

  • Waraka wa Utumishi wa Umma June 02, 2017
  • Mtandao wa barabara Wilaya ya Chemba September 04, 2018
  • Ded Statement October 10, 2018
  • Statement of the Council Chairperson October 11, 2018
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Kuitwa kwenye Usaili wa Watendaji wa Vijiji na Madereva.

    March 27, 2023
  • Kuitwa kwenye Usaili wa Watendaji wa Vijiji na Madereva.

    March 27, 2023
  • Tangazo la Kazi ya Udereva wa Kujitolea

    February 16, 2023
  • Tangazo la Kazi ya Udereva wa Kujitolea

    February 16, 2023
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.