• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Blogu |
    • Malalamiko |
Chemba District Council
Chemba District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Chemba DC Profile
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
    • Hali Ya Uwekezaji
    • Kata, Vijiji na Vitongoji
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Divisheni
      • Elimu ya Awali na Msingi
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Elimu ya Sekondari
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Shughuli
        • Machapisho
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijiji na Mijini
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Takwimu
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
      • Huduma za Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka, na Usafi wa Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Mikopo 10%
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
    • Idhinishwa
  • Machapisho
    • Sheria
      • Permanent act
      • Ada na Ushuru
    • Ripoti
    • Fomu
      • Imprest
      • Masurufu
      • Hati miliki ya kiwanja
      • Likizo
      • Maombi ya leseni ya biashara
      • Fomu ya Kujiunga na Bima ya Afya
      • Ruhusa
    • Miongozo
      • Waraka wa mavazi kwa Watumishi wa Umma
      • Watumishi nje ya kituo
      • Kanuni za maadili za Madiwani
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TAMISEMI YAIPONGEZA CHEMBA

Posted on: August 12th, 2025



"Hongereni sana, katika miradi yote tuliyoipitia Siku ya Leo mmeitekeleza kwa ufanisi mkubwa, miradi yote imekamilika kwa asilimia kubwa, hii inatuonyesha kuwa Chemba kuna usimamizi mzuri wa fedha za Serikali muendelee hivyo hivyo"


Pongezi hizo zimetolewa  tarehe 12, Agosti 2025 na timu ya Wataalamu wa ufuatiliaji na tathimini kutoka TAMISEMI  ambao wamefika Halmashauri ya Wilaya ya Chemba kwaajili ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo, BOOST, SEQUIP na miradi iliyotekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu.


"Tutawatumia kama  mfano katika Halmashauri zingine ambazo zimeshindwa kutekeleza miradi kama hii, tumefurahi sana pia kuona miradi ya BOOST na SEQUIP tuliyoikagua Siku ya Leo imekamilika na mingine imeanza kutumika, tuna imani kuwa January 2026 tutaleta Wanafunzi hapa"'amesema Ndugu Robert Sabwoya ambaye ni Mchumi Mwandamizi kutoka TAMISEMI


Aidha timu hiyo ya Wataalamu kutoka TAMISEMI imesisitiza juu ya utunzaji wa miradi hiyo na kuongeza kuwa Serikali imetumia fedha nyingi katika utekekezaji wa miradi hiyo, hivyo ni vyema itunzwe ili iweze kutumika kwa muda mrefu.


Miradi iliyokaguliwa na timu hiyo ni Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Chemba (Chemba Boys) Shule ya Sekondari Kidoka, Nyumba za Watumishi, Nyumba ya Mkurugenzi, pamoja na Jengo la Utawala La Halmashauri ya Wilaya ya Chemba

Matangazo ya Kawaida

  • MAPOKEZI YA FEDHA July 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 22, 2025
  • WITO WA USAILI August 01, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • WANAFUNZI ZAIDI YA 1000 WA SHULE YA MSINGI CHEMBA WANUFAIKA NA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO

    August 13, 2025
  • TAMISEMI YAIPONGEZA CHEMBA

    August 12, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA UNYONYESHAJI NA MALEZI YA WATOTO

    August 07, 2025
  • KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUZINGATIA MATUMIZI YA VIFAA, UBANDIKAJI WA MABANGO NA ORODHA YA WAPIGA KURA

    August 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

Soya auction
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Forms
  • Frequently asked questions

Tovuti Muhimu

  • TCU
  • Tamisemi
  • National Examination Council
  • Government Website
  • Ministry of Finance
  • Mfumo wa Taarifa za Elimu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji Tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Chemba District Council

    Sanduku la Posta: 830 CHEMBA

    Simu ya Mezani: 0262360175

    Simu ya Mkononi: 0765980765

    Barua pepe: ded@chembadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.