- Mwanzo
- Kuhusu Sisi
- Utawala
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma Zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Ardhi na Maliasili
Idara ya Ardhi na Maliasili hushughulikia masuala mbalimbali kuhusu uendelezaji wa Makazi, Ardhi na Maliasili. Idara hii inatekeleza na kusimamia Program mbalimbali zinazohusiana na maendeleo ya makazi ikiwemo Program ya kuboresha miundombinu ya jamii katika maeneo yasiyopangwa, Program ya Mtandao wa Miji Tanzania (TACINE).
Muundo wa Idara
Idara ya Ardhi na Maliasili inazofanya kazi chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri. Idara imegawanyika katika vitengo saba ambavyo ni: Ardhi utawala, Mipangomiji na Vijiji, Uthamini, Upimaji na Ramani, Misitu, Wanyamapori na Utalii.
Majukumu ya Idara
Kuandaana kusimamia utekelezaji mipango ya uendelezaji wa ardhi katika Halmashauri kwa kuzingatia Mpango Kabambe, Sheria ya Mipangomiji Sura Na. 8 ya mwaka 2007, sheria ya Ardhi na 4 ya mwaka 1999 nakanuzi zake pamoja na mingozo mingine inayotolewa na Wizara ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
i. Mradi wa kuboresha miundo mbinu kwenye maeneo yasipangwa
ii. Usimamiaji na utunzaji wa takwimu za kijiografia (GIS)
iii. Kutambua na kutoa haki miliki katika maeneo yasiyopimwa (Leseni za Makazi)
iv. Kutekeleza Program ya Mtandao wa Miji Tanzania (TACINE)
Chemba District Council
Sanduku la Posta: 830 CHEMBA
Simu ya Mezani: 0262360175
Simu ya Mkononi: 0765980765
Barua pepe: ded@chembadc.go.tz
Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Chemba . Haki zote zimehifadhiwa.